Wednesday, August 31, 2016

Tanzanian old school rapper, Afande Sele was arrested and charged with incitement since yesterday.
Afande made the announcement below through his facebook account...

Tanzanian old school rapper, Afande Sele was arrested and charged with incitement since yesterday.
Afande made the announcement below through his facebook account...
“Huku ni kushindwa kama sio kufeli, toka jana nipo mikononi mwa polisi eti naambiwa nimeratibu mkutano wa UKUTA , nimechapisha T-shirt na kugawa fedha ili kesho watu waandamane, pia kuaandaa mkutano maeneo ya Msamvu.,”.
He added, “Nina zaidi ya mwezi sijakaa maeeneo ya Msamvu zaidi ya kupita nikiwa naelekea mikoani tena nikiwa kwenye gari yangu. Ila hii aibu na fedheha kwa jeshi la polisi, maamuzi ya kukurupuka . Tusubiri,”
No comments:
Post a Comment